Nafasi za Kazi ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi za Kazi Air Tanzania
VACANCIES ANNOUNCEMENT Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet. The Company is therefore inviting application from qualified Tanzanians to fill the following position POSITION: 1.1 CABIN CREW (88 POSTS) a)....Chanzo: Air Tanzania Website
Tarehe ya kutolewa: 2018-01-09
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 4054...Deadline: 2018-01-23 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
2. Nafasi za Kazi TAFORI na TBC
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2018-01-06
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 3136...Deadline: 2018-01-19 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
3. Nafasi za Kazi Maktaba Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya Shirika la Huduma za Maktaba kama ifuatavyo:- 1. Mkutubi Msaidizi Daraja la III “Nafasi 1” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Stashahada ya Ukutubi kutoka katika Chuo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-01-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 9371...Deadline: 2018-01-11 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
4. Nafasi za Kazi Ofisi ya Rais Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kama ifuatavyo:- 3. Mpishi Daraja la III “Nafasi 1” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Elimu ya Cheti cha Upishi kutoka katika Chuo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-01-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 21951...Deadline: 2018-01-11 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
5. Nafasi za Kazi Mamlaka ya Mawasiliano TCRA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-20
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 9569...Deadline: 2018-01-03 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
6. Wito usaili Wizara ya Afya Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia wale wote walioomba nafasi za kazi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Wizara ya Afya, Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa nafasi za Pemba wanatakiwa kufika kwenye....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-20
Mahali pa kazi/tukio: Skuli ya Madungu Imetembelewa mara 7944...Deadline: 2017-12-28 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
7. Wito usaili Wizara ya Biashara na OR-Tawala za Mikoa Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia wale wote walioomba nafasi za kazi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Wizara ya Afya, Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa nafasi za Pemba wanatakiwa kufika kwenye....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-20
Mahali pa kazi/tukio: Skuli ya Madungu Imetembelewa mara 9777...Deadline: 2017-12-29 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
8. Wito usaili Wizara ya Elimu Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia wale wote walioomba nafasi za kazi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Wizara ya Afya, Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa nafasi za Pemba wanatakiwa kufika....Chanzo: Utumishi zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-20
Mahali pa kazi/tukio: Pemba Imetembelewa mara 6881...Deadline: 2017-12-25 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
9. Wito kwa Usaili wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi ya kazi katika Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira wanatakiwa kufika katika usaili siku ya Alkhamisi ya tarehe 21 Disemba, 2017 katika Chuo cha Utalii, Maruhubi Zanzibar saa 2:00 za asubuhi. Wasailiwa wote wanaombwa....Chanzo:
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-19
Mahali pa kazi/tukio: Chuo cha Utalii Maruhubi Imetembelewa mara 7115...Deadline: 2017-12-21 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
10. Wito usaili wizara mbali mbali Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia wale wote walioomba nafasi za kazi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Wizara ya Afya, Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa nafasi za Pemba wanatakiwa kufika kwenye....Chanzo: Utumishi zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-19
Mahali pa kazi/tukio: Skuli ya Madungu Pemba Imetembelewa mara 2894...Deadline: 2017-12-24 00:00:00![](../images/whattsappicon.png)
Nafasi za Kazi
Zilizofanyiwa promo
TAM Review (Zanzibar Form two Mathematics Review 2007-2020
Imeangaliwa
2024-07-27 03:50:52Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
![](images/45.jpg)