Nafasi za Kazi ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi ya kazi Vice Chancellor SUZA
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR VACANCY FOR THE POSITION OFTHE VICE CHANCELLOR The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which has been amended by Act No. 11 of 2009 and further....Chanzo: SUZA website
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-08
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 10950...Deadline: 2019-07-17 15:30:00
2. Nafasi za Kazi Chuo cha Utawala wa Umma (IPA)
CHUO CHA UTAWALA WA UMMA ZANZIBAR KINATANGAZA NAFASI ZA KAZI KAMA HIVI IFUATAVYO:-NAFASI YA KAZI1. Afisa Tehama “Nafasi Mbili (2)”Sifa za Muombaji.• Awe Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Kompyuta Science, Uhandisi wa Kompyuta, au Kompyuta Software kutoka katika....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-05
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 22566...Deadline: 2019-07-12 15:30:00
3. Nafasi za kazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar kama ifuatavyo:-1. Wakili wa Serikali Daraja la II “Nafasi 8” SifazaWaombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu elimu ya Shahada ya kwanza ya Sheria kutoka katika Chuo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-28
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 28836...Deadline: 2019-07-05 15:30:00
4. Nafasi za kazi Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji Mji Mkongwe
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji Mji Mkongwe kama ifuatavyo:-1. Afisa Miradi Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Mipango au Mipango ya Maendeleo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-28
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 26081...Deadline: 2019-07-05 15:30:00
5. Nafasi za kazi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika kada mbali mbali kwa ajili ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kama ifuatavyo:-1. HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI – PEMBA:a) WALIMU WA SAYANSI KATIKA WILAYA YA MICHEWENI - PEMBA.Skuli ni:-....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-28
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 24268...Deadline: 2019-07-05 15:30:00
6. Nafasi za Kazi e-Government Agency (eGA)
PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/J/42 10th June, 2019 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of the e-Government Agency (eGA), President’s Office, Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill sixteen (16) vacant....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-11
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 23213...Deadline: 2019-06-24 15:30:00
7. Nafasi za Kazi Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto
TANGAZO LA NAFASI YA KAZITume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto kama ifuatavyo:-Afisa Ajira Habari Mawasiliano na Ushauri Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:Awe ni Mzanzibari.Awe amehitimu Shahada ya Kwanza....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-11
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 15686...Deadline: 2019-06-14 15:30:00
8. Nafasi za kazi katika Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Unguja na Pemba
TANGAZO LA NAFASI YA KAZITume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Unguja na Pemba kama ifuatavyo:-Afisa Ugani Daraja la II “Nafasi 1” Unguja na “Nafasi 1” - PembaSifa za Waombaji:Awe ni Mzanzibari.Awe amehitimu Shahada ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-11
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 23206...Deadline: 2019-06-14 15:30:00
9. Nafasi za Kazi Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria kama ifuatavyo:-1. Mwangalizi wa Ofisi Daraja la III “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Utawala kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 9089...Deadline: 2019-06-07 15:30:00
10. Nafasi za Kazi Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana kama ifuatavyo:-1. Afisa Afisa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Daraja la II “Nafasi 1” PembaSifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Habari....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 11242...Deadline: 2019-06-07 15:30:00
Nafasi za Kazi
Zilizofanyiwa promo
TAM Review (Zanzibar Form two Mathematics Review 2007-2020
Imeangaliwa
2023-06-09 08:15:46Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
