Maelezo ya Bidhaa

TIBA YA ASILI YA MOYO ULIOTANUKA

Imetembelewa mara
15669

Bei

200,000 TZS

Maelezo kiufupi :

Kutanuka kwa moyo maana yake ni moyo unakuwa mkubwa kuliko kawaida,moyo hutanuka kutokana na utanukaji wa misuli/ kuta za moyo ambayo ni matokeo ya misuli au kuta za moyo kufanya kazi kubwa kuliko uwezo wake.    Kutanuka kwa moyo sio ugonjwa bali ni matokeo ya itilafu....

Hali (Mpya/imetumika?):

Mpya

Inapatikana wapi:

Morogoro mjini

Jina la duka/Muuzaji:

The Cotex Medicine

Mawasiliano:


Share kwenye Whatsapp

Get it on Google PlayPakua app yetu kutoka Google play

zenjishoppazz

Zilizotembelewa hivi punde

No preview available
TIBA YA ASILI YA MOYO ULIOTANUKA

Imeangaliwa

2024-04-18 05:14:31
TZS 200,000
No preview available
Mapazia Weka Oder yako mapema

Imeangaliwa

2024-04-18 05:14:13
TZS Bei Maelewano
No preview available
Fundi Ceiling, tiles na finishing

Imeangaliwa

2024-04-18 05:14:05
TZS Bei Maelewano
No preview available
Fundi taizi na makabati jikoni

Imeangaliwa

2024-04-18 05:13:55
TZS Bei Maelewano
No preview available
Kabati,baby worker,bedsheet

Imeangaliwa

2024-04-18 05:13:51
TZS 65,000
No preview available
Karatasi Nyeupe (Paper One)

Imeangaliwa

2024-04-18 05:13:45
TZS Bei Maelewano
No preview available
Begi la shule dogo

Imeangaliwa

2024-04-18 05:13:14
TZS 25,000
No preview available
Kitanda cha sofa

Imeangaliwa

2024-04-18 05:13:05
TZS 250,000

Maelezo Zaidi

TIBA YA ASILI YA MOYO ULIOTANUKA

Kutanuka kwa moyo maana yake ni moyo unakuwa mkubwa kuliko kawaida,moyo hutanuka kutokana na utanukaji wa misuli/ kuta za moyo ambayo ni matokeo ya misuli au kuta za moyo kufanya kazi kubwa kuliko uwezo wake.


 


 

 


 

Kutanuka kwa moyo sio ugonjwa bali ni matokeo ya itilafu inayotokana na moyo kutumia nguvu nyingi katika kusukuma damu mwilini,moyo uliotanuka hauwezi kufanya kazi kisawa sawa hali inayopelekea moyo kushindwa kusambaza damu ipasavyo.


 

Je wajua nini hasaa chanzo cha moyo kutanuka???

Kutanuka kwa moyo huchangiwa na moja ya sababu zifuatazo??;


 

1.Kupanda zaidi kwa shinikizo la juu la damu mwilini (Hypertension) au kwenye mishipa inayounganisha moyo na mapafu (Pulmonary hypertension).


 

Hali ya presha au shinikizo la damu kuwa juu zaidi husababisha moyo kusukuma damu zaidi kuliko kawaida hali inayopelekea misuli/kuta za moyo kuwa nene hatimae hufanya moyo kuwa mpana.


 

2.Ugonjwa wa mishipa ya moyo (Coronary artery disease) pamoja na ugonjwa wa misuli ya moyo (Cardiomyopathy).


 

Moyo wenye itilafu ya mishipa au misuli husababisha misuli au mishipa hiyo kukakamaa, kukakamaa kwa misuli/mishipa hupunguza uwezo wa moyo hatimae moyo hujaribu kutumia nguvu nyingi kusukuma damu hali inayofanya misuli kuwa minene.


 

3.Uchache wa chembe hai nyekundu katika damu(Red blood cell) au uwingi wa madini ya Chuma (Fe) katika damu.


 

Uwepo wa chembe hai nyekundu chache katika damu ambayo inatafsiriwa kama ukosefu wa damu mwilini hufanya ubebaji na usambazaji wa damu mwilini kuwa mdogo hivyo moyo nguvu za ziada tena za haraka kukabiliana na hali hiyo na kupelekea kuta za moyo kuwa nene(moyo kutanuka).


 

Kwa upande mwingine, uwingi wa madini ya chuma mwilini hufanya madini hayo kujijenga sehemu mbalimbali za mwili hasaa zaidi ogani za mwili kama moyo.Uwingi wa madini haya kwenye moyo hudhoofu misuli ya moyo na kufanya misuli ya moyo kuwa minene.


 

4.Magonjwa ya tezi mfano Thyroid disease.


 

Magonjwa ya tezi (Grands disease) hupelekea homoni kutolewa kwa kiwango kidogo au kingi, kuvurugika kwa mpangilio huu huathiri mapigo ya moyo, msukumo wa damu na ukubwa wa moyo na hivyo kuufanya moyo kuwa mnene.


 

5.Kurithi na matatizo ya kuzaliwa nayo mfano kuwepo kwa tundu kwenye Aorta (Patent ductus arteriosus).


 

Kurithi tatizo hili au kuzaliwa na tatizo hili hufanya watu kulipata tatizo hili.


 

Sababu zingine zinazopelekea tatizo hili ni kama zifuatazo??;


 

?? Kuharibika kwa vavu (valve) kwenye vishipa vya damu.
 

?? Moyo kushambuliwa na virusi na bakteria mara kwa mara.

 

?? Ugonjwa wa figo.

 

??Kuwa na uzito mkubwa (Overweight) na unene uliokithiri (Obese).
 

?? Matumizi yaliyokithiri ya pombe na madawa ya kulevya.

 

?? Maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU)

 

?? Ujauzito/kujifungua.


 


 

KUMBUKA.


 

Licha ya uwepo wa dawa tofauti za kupambana na tatizo hili kama vile dawa za kuupunguzia moyo mzigo Lasix na zinginezo na dawa za kuusaidia moyo ulioshindwa Digoxin n.k bado tatizo hili litaendelea kuwa kubwa zaidi zaidi kama hatua za haraka hazitachukuliwa.


 

?Moja ya hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kwa haraka ni pamoja na;

Kufanyiwa upasuaji wa moyo, Kubadilisha/kupandikiza moyo mpya (Transplant of the heart) na Matumizi ya dawa yanayoendana na kubadili mfumo wa maisha.
 


 

Moja ya madhara makubwa ya tatizo hili ni kama vile ??;


 

? kifo cha ghafla.

?Moyo kusimama kufanya kazi.

?Kupalaraizi(stroke).

? Vidonda kwenye moyo.


 

Tiba ya maradhi haya inapatikana kwa gharama ya Tsh 200,000/.

Dawa hii inayo uwezo wa kutibu Cardiomegaly na kuurejesha moyo kwenye hali yake kwa matumizi ya dawa kwa muda wa siku sita (6) tu.


 

Amini moyo hata uwe umetanuka kiasi gani au mgonjwa hata awe kwenye hatua mbaya kiasi gani dawa hii ina nguvu ya ajabu sana kwa uwezo wa muumba katika katika kutibu maradhi haya kwa muda mfupi sana.


 

Dalili za Cardiomegaly

Moja ya dalili hatari za tatizo hili ni pamoja na;

? Kupumua kwa shida sana

?Kujaa na kuvimba kwa miguu.

?Kifua kubana na 

?kupoteza fahamu.


 

Dalili zingine za moyo kutanuka ni pamoja na Vidole kufa ganzi na kukakamaa, mapigo ya moyo kwenda kwa kasi sana,moyo kulipuka mara kwa mara,miguu kuwa ya baridi, maumivu kwenye chemba ya moyo, kuongezeka uzito na kuwa na tumbo kubwa.


 

Wapo wenye tatizo hili bila dalili zozote, muhimu kwenda hospitali kupatiwa uchunguzi wa moja vipimo hivi;

??Echocardiography,X-ray ya kifua,CT scan,MRI, ugonjwa wa tezi na uwingi wa damu.


 

Muhimu Zaidi;

Muhimu zaidi aliyebainika na tatizo hili kufanya mambo yafuatayo;


 

1?? Kudhibiti ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi.

2?? Kupunguza ulaji wa wingi wa mayai na maziwa.

3?? Matumizi mengi ya chumvi kwenye mboga

4?? Kudhibiti kupanda kwa shinikizo la juu la damu

5?? Kudhibiti sukari

6??Kutotumia pombe au kahawa

7??Tumia mafuta kiasi kwenye mboga/kuandalia chakula mfano mafuta ya alizeti

8?? Kupata mapumziko ya kutosha kwa siku(masaa 8 au zaidi kwa siku)

9?? Kutumia mbogamboga za majani na matunda unazopendelea katika kila mlo.

? kufanya mazoezi ya viungo/kukimbilia kwa walau dk 45 kwa siku.

1??1?? Kujiandikisha kwenye kliniki ili kupata uchunguzi wa mara kwa mara.


 

Jilinde, jitunze na jihimize zaidi kufuata taratibu za kitabibu kama nilivyoeleza na hii itasaidia kulinda afya yako na kupunguza madhara makubwa ya tatizo hili.


 

The Cotex Medicine

The centre for Cure Coaching and Rehabilitation.


 

Prepared by ;


 

Nutr.Sood 

call/sms/WhatsApp:0678640098.

Email: thecotexmedicine@gmail.com


 

Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

  • Vitu vyenye ubora wa hali ya juu
  • Bidhaa Oriji
  • Bei zenye kununulika
  • Huduma kwa wateja nzuri
  • Mahali pamoja kwa mahitaji yote
  • Gerentii
  • Mitindo ya kisasa

Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

Tumekusudia kukuhudumia kama mfalme! Tafadhali weka maoni yako kuhusu mtandao huu; tumeazimia kuufanya mtandao mmoja kwa ajili ya mahitaji yote, kama umepata tatizo la udanganyaji au bidhaa feki au jengine lolote usisite kutujulisha moja kwa moja kupitia Mail Us au namba 0655 063 601 ili tuweze kulishughulikia haraka sana

Weka maoni yako

Email yako haitawekwa wazi, maelezo yanayohitajika yamewekwa alama ya *

Maksi zako

Bidhaa nyengine kutoka The Cotex Medicine

Zilizotembelewa sana

Bidhaa zinazofanana

Mpya

IMEMALIZA

Laptop Acer Aspire R11
Zimebaki 0

TZS 650,000

Maelezo

Mtumba

SELI

Laptop HP Elitebook
Zimebaki 1

TZS 550,000

Maelezo

Mpya

SELI

Saa Ya mkononi (Wrist
Zimebaki 20

TZS 25,000

Maelezo

Mpya

SELI

Samsung J106 mini pro
Zimebaki 12

TZS 130,000

Maelezo

Mpya

SELI

Samsung galaxy j110
Zimebaki 10

TZS 168,000

Maelezo

Mpya

SELI

Samsung galaxy j200
Zimebaki 7

TZS 200,000

Maelezo

Mpya

SELI

Samsung Galaxy 385
Zimebaki 11

TZS 235,000

Maelezo

Mpya

SELI

Sony Xperia Z1 16GB
Zimebaki 1

TZS 300,000

Maelezo

© 2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English