Maelezo ya Bidhaa
DAWA ASILI YA KISUKARI
Bei
764,516,995 TZS
Maelezo kiufupi :
UGONJWA WA KISUKARI,CHANZO CHAKE,DALILI ZAKE,ATHARI NA MATIBABU YAKE •Ni kundi la magonjwa ambayo hupelekea kuwepo na kiwango cha sukari kilichozidi katika damu (high blood glucose ~*hyperglycemia*) AINA ZA KISUKARI1?? TYPE 2 DIABETES•Ni hali iliyokuwa sugu ambayo inaathiri namna....
Hali (Mpya/imetumika?):
Mpya
Inapatikana wapi:
TANZANIA
Jina la duka/Muuzaji:
THABIT HERBS
Mawasiliano:


Zilizotembelewa hivi punde
vijora Safi kutoka Mombasa haviruki havipauki jumla 13500 na reja reja 15000 karibun napatikana Zanz
Imeangaliwa
2023-06-01 04:48:24Dawa ya asili ya moyo/moyo kutanuka/kutanuka kwa misuli ya moyo/shambulio la moyo/moyo kufeli
Imeangaliwa
2023-06-01 04:47:41Maelezo Zaidi
DAWA ASILI YA KISUKARI
UGONJWA WA KISUKARI,CHANZO CHAKE,DALILI ZAKE,ATHARI NA MATIBABU YAKE
•Ni kundi la magonjwa ambayo hupelekea kuwepo na kiwango cha sukari kilichozidi katika damu (high blood glucose ~*hyperglycemia*)
AINA ZA KISUKARI
1?? TYPE 2 DIABETES
•Ni hali iliyokuwa sugu ambayo inaathiri namna ambavyo mwili unabadilisha kiwango cha sukari kilichozidi kwenye damu (glucose).
2?? TYPE 1 DIABETES
•Ni hali iliyokuwa sugu ambapo kongosho(pancreas) huzalisha kiasi kidogo cha insulin au hushindwa kabisa kuzalisha insulin kwaajili ya kuondosha kiwango cha sukari kilichozidi kwenye damu.
3?? PRE-DIABETES
•Ni hali ambapo kiwango cha sukari katika damu kinakuwa juu lakini bado hakijafikia kuwa kisukari type 2.
•Na Sukari huwa 5.7- 6.4 kabla ya kula kwa mtu ambae ana dalili ya *prediabetes*
VIWANGO VYA SUKARI NA MAANA YAKE KATIKA MWILI WA BINADAMU
1?? *_KIWANGO CHA SUKARI KILICHO SAWA (normal blood Sugar)_*
•Kwa watu wengi Wenye Afya nzuri,Kiwango kilicho sawa cha Sukari kwenye damu ni kama vifuatavyo???:
?? KABLA YA KULA
Sukari huwa Kati ya 4.0 hadi 5.4 mmol/L (72 hadi 99 mg/dL) kabla ya kula.
?? BAADA YA KULA
Hufika 7.8 mmol/L (140 mg/dL) Masaa 2 baada ya kula.
2?? KWA WATU WENYE KISUKARI
•Kiwango cha sukari mwilini kwa watu Wenye kisukari huwa kama ifuatavyo????:
?? KABLA YA KULA
-Sukari hufika 4 hadi 7 mmol/L kwa watu Wenye type 1 au type 2
?? MASAA MAWAILI BAADA YA KULA
-Sukari huwa chini ya 9 mmol/L kwa watu wenye Kisukari type 1 na huwa chini ya 8.5 mmol/L kwa watu wenye Kisukari type 2
SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA UGONJWA WA KISUKARI
??????
??Utumiaji wa vyakula vyenye Sukari kupitiliza
-Husababisha kisukari kwasababau hupelekea mwili kuwa mzito zaidi.
?? Ulaji wa nyama nyekundu kupita kiasi(kama vile nyama ya ng'ombe,mbuzi,kondoo nk)
?? Utumiaji wa vyakula vyenye mafuta mengi(fats & lipids)
??Kutokufanya mazoezi/Uzembe wa mwili.
?? Utumiaji wa Vilevi na Sigara.
?? Uzito uliopita kiasi
?? Presha ya kupanda(Hypertension)
?? Sababu za Kurithi.
?? Umri mkubwa miaka 45 au zaidi.
DALILI ZA UGONJWA WA SUKARI????
?? Kupata kiu kila wakati na kupelekea Kunywa maji kupita kiasi.
??Kukojoa sana hasa wakati wa usiku(frequent uniration)
??Uchovu na mwili kukosa nguvu kila wakati.
??Kuchelewa kupona kwa majeraha na vidonda hasa miguuni nk.
??Miguu kuoza
??Kupungua kwa nguvu za kiume na kukosa hamu ya tendo la ndoa
??kutokuona vizuri na kupata upofu
??Ganzi miguuni na kwenye vidole pamoja na Miguu Kuvimba.
??Kupungua uzito na kukonda hata Kama unakula vizuri
?? Ngozi kupauka licha ya kupaka mafuta Mara kwa mara
MADHARA YA UGONJWA WA SUKARI
????????
??kupata magonjwa ya moyo (Cardiovascular Diseases)
?? Kiharusi au kuparalaizi( Stroke)
?? Shinikizo la damu (NHT)
?? Figo kufeli kufanyakazi na mawe kwenye figo(Kidney Stones)
?? Kupungua kwa nguvu za kiume. na kukosa hamu ya tendo la ndoa
??kupata upofu
?? Hatari ya kupata Kansa kutokana na Vidonda visivyopona.
?? Kisukari ni ugonjwa wenye kutibika kwa dawa za asili hasa pale utakapobahatika kupata dawa ya uhakika katika kutibu kisukari mfano wa dawa za uhakika zenye kuondosha kabsa kisukari ni dawa ya asili iitwayo DM POWDER
Dr.Mapande
Tiba Asili
Tanzania
+255764516995
+255656198441
thabitsayd@gmail.com
Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..
- Vitu vyenye ubora wa hali ya juu
- Bidhaa Oriji
- Bei zenye kununulika
- Huduma kwa wateja nzuri
- Mahali pamoja kwa mahitaji yote
- Gerentii
- Mitindo ya kisasa
Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

Tumekusudia kukuhudumia kama mfalme! Tafadhali weka maoni yako kuhusu mtandao huu; tumeazimia kuufanya mtandao mmoja kwa ajili ya mahitaji yote, kama umepata tatizo la udanganyaji au bidhaa feki au jengine lolote usisite kutujulisha moja kwa moja kupitia Mail Us au namba 0655 063 601 ili tuweze kulishughulikia haraka sana
Weka maoni yako
Email yako haitawekwa wazi, maelezo yanayohitajika yamewekwa alama ya *
Maksi zako