Jinsi ya ku bold, italic na Kupiga mchoro kwenye Whatsapp

General Description

Source: Zenjishoppazz



Release date: 2019-11-25



Duty Station: Zanzibar
20866 visits!... Deadline: 2022-01-11 11:11:00

 

Kama ulikua hujui au umesahau jinsi ya kuandika maandishi kwa ku bold, kwa italic, kupiga mchoro yaani strikethrough hii hapa angalia.


 

Italic

Ili kuandika italic kwenye whatsapp weka alama ya (underscore) yaani kichoro hiki _ mwanzo na mwisho wa neno.


 

Mfano _Ubwabwa_  ukibonyeza space utapata neno Ubwabwa


 

Bold

Ili kuandika bold kwenye whatsapp weka alama ya (star) yaani alama hii * mwanzo na mwisho wa neno.


 

Mfano *Ubwabwa*  ukibonyeza space utapata neno Ubwabwa


 

Kupiga mchoro

Ili kupiga mchoro kwenye whatsapp weka alama ya tildes yaani kichoro hiki ~ mwanzo na mwisho wa neno.


 

Mfano ~Ubwabwa~ ukibofya space utapata neno

Ubwabwa


 

Kabla hujaondoka kuna nyengine hii ya bonus inaitwa monospace nayo utaipata kwa kuandika single quotes tatu

Mfano: “‘Monospace’’’ Ukibofya space utapata ?????????

 

 


 

Usisahau kushea kwa wenzio J;



Share via Whatsapp

Promoted Ads

No preview available
Sport fishing boat
959

Visits

TZS 23,000,000
No preview available
Abaya baibui
2166

Visits

TZS 75,000
No preview available
UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE
10727

Visits

Negotiation
No preview available
TIBA ASILIA YA UGONJWA WA BAWASIRI
9459

Visits

Negotiation

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2023 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili