Tangazo la Kuitwa Kazini Ofisi Mbali Mbali za serekali
General Description
Source: ajira.go.tz
Release date: 2023-02-07

TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 12 – 28 Septemba, 25 Oktoba na 08 Novemba, 2022. kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
Waombaji waliofaulu usaili wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwenye Majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Masjala yawazi ndani ya siku saba kutoka tarehe ya tangazo hili na baada ya hapo barua ambazo hazitachukuliwa na wahusika zitatumwa kupitia anuani zao za Posta.
Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira.
Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.
NB: Waombaji wanaokwenda kuchukua barua zao wanatakiwa wawe wamevaa Barakoa.


Others
- Nafasi ya Kazi Director, Country Office
- Nafasi ya Kazi ya INTERN - PUBLIC INFORMATION, I (Temporary Job Opening)
- Nafasi ya Kazi Procurement Specialist
- Nafasi ya Kazi Government Liaison Associate
- Nafasi ya Kazi TAAP Flour Milling Expert - Ethiopia and Tanzania
- Nafasi ya Kazi Internship, Nourishing Food Pathways Inclusive Local FSN Governance
- Nafasi ya Kazi Monitoring, Evaluation, Accountability and Learning (MEAL) Officer,
- Nafasi ya Kazi Ward to Ward Financial Inclusion Analysis
- Nafasi ya Kazi WASH Project Manager Tanzania Kibondo
- Nafasi ya Kazi Administrative Assistant in Ruvuma
- Nafasi ya Kazi Technical Advisor, Pre-Service Education
- Tangazo la Nafasi mbali mbali za Kazi Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA)
- Nafasi ya Kazi MUCE
- Nafasi ya Kazi Senior Research Assistant
- Nafasi ya Kazi Regional Technical Officer
- TANGAZO LA NAFASI YA KAZI AFISA MIAMBA MAJI DARAJA LA II - UNGUJA - 1 POST
- Nafasi ya Kazi Afisa Utafiti Daraja La I Katika Fani Ya Sayansi Ya Uvuvi (Fisheries Sciences) - Ungu
- Nafasi ya Kazi Soil Microbiologist
- Nafasi ya Kazi
- Nafasi ya Kazi Mwalimu wa Lugha
Promoted Ads
Other products
