Nafasi ya Kazi System Developer (Lead Developer)
General Description
Source: ZanAjira
Release date: 2023-01-31
Duty Station: TANZANIA
25984 visits!... Deadline: 2023-02-16 00:53:00
POST | SYSTEM DEVELOPER (LEAD DEVELOPER) DARAJA LA II - 1 POST |
EMPLOYER | WIZARA YA AFYA |
APPLICATION TIMELINE: | From: 28-01-2023 To: 16-02-2023 |
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | - Kuainisha progrmu ngumu na nyepesi za kompyuta.
- Kutengeneza ‘Data Base’.
- Kutayarisha uendeshaji wa ‘User Manual’.
- Kutoa ushauri juu mifumo bora ya kompyuta.
- Kuandaa ‘Monitoring Operating Systems’ kwa ajili ya ‘Software’ za Mawasiliano.
- Kufanya udhibiti wa matumizi ya programu za kompyuta.
- Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka.
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
|
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | - Awe Mzanzibari mwenye umri usiopungua miaka arobaini na sita.
- Mwenye Shahada ya Kwanza au sifa inayolingana nayo ya Sayansi ya Kompyuta kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
|
REMUNERATION | ZPSG - 08 |
KWA MAELEZO ZAIDI NA NAMNA YA KUOMBA GUSA HAPA
Share via Whatsapp
Promoted Ads
1359
Visits
TZS 23,000,000