Tangazo la Nafasi ya Kazi Wizara ya Afya Zanzibar

General Description

Source: ZanAjira



Release date: 2023-01-28



Duty Station: Zanzibar
14540 visits!... Deadline: 2023-02-16 23:43:00

POST: DAKTARI WA BINAADAM DARAJA LA II - 33 POST

 

EMPLOYER: WIZARA YA AFYA

 

APPLICATION TIMELINE: From: 28-01-2023 To: 16-02-2023

 

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

  1. Kufanya shughuli zote za utibabu, huduma za upasuaji wa dharura na upasuaji wa kawaida.
  2. Kusimamia wafanyakazi walio chini yake.
  3. Kuchunguza, kufatilia na kuzuia miripuko ya   magonjwa mbali mbali.
  4. Kupanga na Kufanya tathmini ya huduma za afya.
  5. Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya
  6. Kutoa huduma za “Outreach Programme”.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

  • Awe mwenye Shahada ya kwanza katika fani ya Tiba ya Binaadamu (Medical Doctor) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  •  Awe amemaliza mafunzo ya vitendo (Internship) kwa muda wa mwaka mmoja katika hospitali zilizoteuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
  •  Awe amesajiliwa na Baraza la Madaktari Zanzibar.

REMUNERATION: ZPSJ-09

 

 



Share via Whatsapp

Promoted Ads

No preview available
Sport fishing boat
420

Visits

TZS 23,000,000
No preview available
Abaya baibui
1618

Visits

TZS 75,000
No preview available
UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE
9086

Visits

Negotiation
No preview available
TIBA ASILIA YA UGONJWA WA BAWASIRI
7453

Visits

Negotiation
No preview available
MADIRA YA MSOMALI
7861

Visits

TZS 20,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2023 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili