Nafasi za Kazi Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar ZAA

General Description

Source: ZAA



Release date: 2019-12-22


Download


Duty Station: Zanzibar
44973 visits!... Deadline: 2019-12-27 15:30:00

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 

 

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, ni taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa sheria namba 8 ya mwaka 2011. Majukumu ya Mamlaka ya Viwanja Ndege yameelezwa kupitia kifungu nambari 5 (1) ambayo kwa jumla yamejielekeza katika kuviendesha, kuvisimamia, na kuvitunza viwanja vya ndege vya Serikali Unguja na Pemba kwa kuzingatia miongozo ya kitaifa na kimataifa pamoja na kutoa huduma za kuridhisha katika tahadhari (Safety) na usalama (Security) kwa safari za abiria na mizigo katika viwanja vya ndege vya Zanzibar. 

 

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege inatangaza nafasi za kazi 70, katika kada ya kitengo cha Usalama wa kiwanja “Aviation Security” kwa nia ya kuimarisha huduma za Usalama kwa Viwanja vya Ndege vya Unguja na Pemba. Nafasi hizo zitakuwa kwa utaratibu ufuatao

 

 

PLEASE DOWNLOAD PDF FILE FOR MORE INFORMATION



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1149

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
875

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
992

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1186

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
959

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
976

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
654

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili