Nafasi za Kazi Afya OR-TAMISEMI

General Description

Source: Utumishi Tanzania



Release date: 2020-01-21


Download


Duty Station: Tanzania
31932 visits!... Deadline: 2020-02-07 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 
OFISI YA RAIS 
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA 
TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA 
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) kwa kushirikiana  na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na Taasisi ya  Benjamin William Mkapa inatekeleza Mradi wa Kuimarisha Mifumo Stahimilivu na  
Endelevu ya Afya (RSSH) kupitia ufadhili wa Mfuko wa Dunia wa kupambana na  UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund). 
Mradi huu una lengo la kuimarisha huduma za afya ngazi za vituo katika Mikoa kumi  (10) iliyopewa kipaumbele na mradi huu ambayo ni Mwanza, Shinyanga, Mara,  Simiyu, Geita, Kagera, Katavi, Tabora, Dodoma na Kigoma.  
Hivyo, Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa kushirikiana na Taasisi ya Benjamin William  Mkapa inapenda kuwatangazia wahitimu wa kada za afya nchini kuwasilisha maombi  
ya nafasi za kazi, kuanzia tarehe 20/01/2020 ili kujaza nafasi mbalimbali za Kada ya  Afya katika Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati.

 

TAFADHALI BOFYA KITUFE HAPO CHINI ILI KUDOWNLOAD PDF FILE KWA TAARIFA ZAIDI 



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1149

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
875

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
992

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1187

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
959

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
976

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
654

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili