Nafasi za Kazi 42 Bunge na Wizara ya Elimu

General Description

Source: Ajira Website



Release date: 2022-06-13


Download


Duty Station: Tanzania
19131 visits!... Deadline: 2022-06-24 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Ref.No.JA.9/259/01/A/105 11 Juni, 2022 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wizara ya Elimu Sayansi na Technolojia anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi arobaini na mbili (42) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.

1.0 BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeundwa kwa mujibu wa Ibara ya 62(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977. Aidha, Ibara ya 88(1) ya Katiba inaunda Sekretarieti ya Bunge yenye jukumu la kuliwezesha Bunge kutekeleza majukumu yake.

 

 

PLEASE DOWNLOAD PDF FILE HERE FOR MORE INFORMATION



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1497

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
1266

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
1444

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1779

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
1400

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
1394

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
946

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2026 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili