Masters Scholarships ...timiza ndoto zako!
Samahani! Hakukupatikana matangazo ya Masters Scholarships kwa sasa tafadhali endelea kututembelea kwa nafasi za kazi, Scholarships na bidhaa mbali mbali.Karibu tena!!
1. MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI (INTERVIEW)
MAJINA YA WALIOITWA KWENYE INTERVIEW Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana....Chanzo:
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-19
Mahali pa kazi/tukio: ZANZIBARR Imetembelewa mara 14332...Deadline: 2017-07-22 00:00:002. Nafasi za kazi (74) Zanzibar Aviation Authority (ZAA)
Mamlaka ya viwanja vya ndege Zanzibar, ni taasisi ya Serikali iliyoanzishwa chini ya sheria namba8 ya mwaka 2011. Mamlaka ya viwanja vya ndege inatangaza nafasi za kazi 74 katika maeneo yaliyoainishwa katika nafasi na meneo yaliyoainishwa katika tangazo kama vile Civil, Electrical and Mechanical....Chanzo: Zanzibar24
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-18
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 19207...Deadline: 2017-08-08 00:00:003. Nafasi za masomo (SMZ Scholarships) Bodi ya Mikopo Zanzibar
Nafasi za masomo (Scholarships) za Bodi ya mikopo Zanzibar Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar inatangaza nafasi kumi za ufadhili wa masomo kwa njia ya scholarship zinazotolewa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa vijana waliofaulu vizuri zaidi mitihani yao ya kidato cha sita kwa mwaka 2017....Chanzo: ZHELB
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-17
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 8708...Deadline: 2017-08-15 00:00:004. Nafasi za masomo (Scholarships) Utabibu Mifugo China
Nafasi za masomo china Veterinary Medicine Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar inatangaza nafasi za masomo ya shahada ya kwanza ya Tiba ya Mifugo (Bachelor of Veterinary Medicine) katika Chuo Kikuu cha Yichun kilichopo katika jimbo la Jiangxi nchini China kwa mwaka wa masomo 2017/18. Masomo....Chanzo: ZHELB
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-17
Mahali pa kazi/tukio: CHina Imetembelewa mara 8513...Deadline: 2017-08-15 00:00:005. Nafasi za Masomo Islamic Development Bank (IDB)
NAFASI ZA MASOMO ISLAMIC DEVELOPMENT BANK Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar inatangaza nafasi za ufadhili wa masomo ya shahada ya kwanza zinazotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kiislamu (IDB) kwa mwaka wa masomo 2017/18. Fani zinazotolewa ni: 1. Udaktari wa binadamu (Doctor of medicine) 2.....Chanzo: Ministry of education Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-17
Mahali pa kazi/tukio: Imetembelewa mara 6677...Deadline: 2017-08-04 00:00:006. MATOKEO NECTA FORM SIX 2017 (ACSEE RESULTS 2017)
PLEASE CLICK HERE TO SEE ACSEE RESULTS 2017....Chanzo: NECTA
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-15
Mahali pa kazi/tukio: NECTA Imetembelewa mara 20449...Deadline: 2017-12-31 00:00:007. NAFASI ZA KAZI WIZARA YA ARDHI
NAFASI ZA KAZI WIZARA YA ARDHI Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira kama ifuatavyo:- 1. Afisa Mipango Miji Daraja la II “Nafasi 3” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-14
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 11535...Deadline: 2017-07-21 00:00:008. NAFASI ZA KAZI CENTER OF FOREIGN RELATIONS TANZANIA
NAFASI ZA KAZI CENTER OF FOREIGN RELATIONS TANZANIA On behalf of the Center for Foreign Relations Tanzania, President’s Office, Public Service Recruitment Secretariat (PO-PSRS) invites qualified Tanzanians to fill one (1) vacant post mentioned belowPLEASE CLICK HERE TO DOWNLOAD PDF FILE FOR....Chanzo: UTUMISHI
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-13
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 4926...Deadline: 2017-07-26 00:00:009. NAFASI ZA KAZI WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI
NAFASI ZA KAZI WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Ukama ifuatavyo:- 1. Afisa Utumishi Msaidizi Daraja la III “Nafasi 1” Sifa za Waombaji: Awe ni Mzanzibari. Awe....Chanzo: UTUMISHI ZANZIBAR
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-12
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 15385...Deadline: 2017-07-17 00:00:0010. NAFASI ZA KAZI OFISI YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI
NAFASI ZA KAZI OFISI YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Mkemia Mkuu wa serikali kama ifuatavyo:- 1. CHEMISTRY Daraja la II “Nafasi 7” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu elimu ya Shahada ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-07-12
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 8546...Deadline: 2017-07-17 00:00:00Masters Scholarships
Zilizofanyiwa promo
Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote


Pakua app yetu kutoka Google play




















