Tangazo la Nafasi ya Kazi Wizara ya Afya Zanzibar
Maelezo
Chanzo: ZanAjira
Tarehe Iliyotolewa: 2023-01-28
Kituo cha Kazi/Tukio: Zanzibar
Imetembelewa mara! 26235 ... Deadline: 2023-02-16 23:43:00
POST: DAKTARI WA BINAADAM DARAJA LA II - 33 POST EMPLOYER: WIZARA YA AFYA APPLICATION TIMELINE: From: 28-01-2023 To: 16-02-2023 DUTIES AND RESPONSIBILITIES - Kufanya shughuli zote za utibabu, huduma za upasuaji wa dharura na upasuaji wa kawaida.
- Kusimamia wafanyakazi walio chini yake.
- Kuchunguza, kufatilia na kuzuia miripuko ya magonjwa mbali mbali.
- Kupanga na Kufanya tathmini ya huduma za afya.
- Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya
- Kutoa huduma za “Outreach Programme”.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE - Awe mwenye Shahada ya kwanza katika fani ya Tiba ya Binaadamu (Medical Doctor) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
- Awe amemaliza mafunzo ya vitendo (Internship) kwa muda wa mwaka mmoja katika hospitali zilizoteuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
- Awe amesajiliwa na Baraza la Madaktari Zanzibar.
REMUNERATION: ZPSJ-09 |
Share via Whatsapp
Bidhaa Mbalimbali
Zenye Promotion
1375
Visits
Bei Maelewano
1408
Visits
TZS 23,000,000
9098
Visits
Bei Maelewano
19259
Visits
Bei Maelewano