Ni yapi malengo yako kwa mwaka 2023
Maelezo
Chanzo: Zenjishoppazz
Tarehe Iliyotolewa: 2023-01-04
Ni yapi malengo yako kwa mwaka 2023
Tukiwa tumeuanza mwaka wa 2023 Miladia, hakikisha unaweka malengo mapya kwa mwaka 2023 ili kupiga hatua mbele, ya Zaidi ulivyopiga katika mwaka 2022.
Miongoni mwa mambo ya msingi ni kuhakikisha kwanza unakuwa na nidhamu ya kifedha ambayo itakuwa ndio lengo lako kuu katika kufikikia mafanikio.
Pili, usifanye matumizi ambayo hukuyapanga, jambo hili litakufanya kuepuka kununua kila unachokiona, bali utatizama bageti yako inasemaje, jambo hili litakufanya uweze kuwa na akiba ya kutosha katika akaunti yako.
Tatu, hakikisha kila siku inayopita huiachi bila ya kujituma sana ili uhakikishe kile siku inayokwenda kwa Mola wake wewe unajituma kwa kufanya kazi na kuweza kuingiza mkwanja hata kama utakuwa ni mdogo.
Nne, hakikisha hupotezi pesa hasa kwa matumizi yasio ya msingi, bali tumia kwa malengo na huku Zaidi ukifikiria katika uwekezaji na si katika matumizi ya starehe ambayo gharama yake ni kubwa ambayo kama hujawa makini utakopa madeni ambayo yengeweza kuepukika.

Zinazofanana
- Mambo Ambayo Yanaweza Kukupotezea Muda ikiwa utayafanya.
- Kazi 4 zinazolipa mishahara mikubwa
- Ajali ya MV Spice Islander
- Ifahamu Museum for the Future Dubai
- Njia tano za kuomba nyongeza ya mshahara
- Matokeo ya Kidato cha Nne (Form Four) 2022/2023
- Matekeo ya Mitahani ya Taifa
- The Motivation Myth
- TABIA 12 ZA MATAJIRI/MAMILIONEA
- General studies Notes
- Mambo saba ya kujifunza katika kitabu cha The Richest Man in the Babylon
- History Notes Form Two
- History Form One Notes
- NINI TUNAJIFUNZA KUPITIA KIPEPEO
- FUMBA TOWN ZANZIBAR
- Fumba Town
- MAMBO SABA WANAYOYAFANYA MASKINI, AMBAYO MATAJIRI HAWAYAFANYI
- KARIBU USAFIRI NASI KWA SAFARI YA HIJA
- NAMNA NZURI YA KUWEZA KUHIFADHI PESA
Bidhaa Mbalimbali
Zenye Promotion
Bidhaa Nyenginezo
Tembelea pia
