FUNDI MAGARI DARAJA LA III-UNGUJA - 1 POST

Maelezo

Chanzo: zan ajira



Tarehe Iliyotolewa: 2025-09-11



Kituo cha Kazi/Tukio: Unguja
Imetembelewa mara! 6777 ... Deadline: 2025-09-17 15:30:00

POST DETAILS

POSTFUNDI MAGARI DARAJA LA III-UNGUJA - 1 POST
EMPLOYERMAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI
APPLICATION TIMELINE:From: 11-09-2025 To: 17-09-2025
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

MAJUKUMU YA KAZI

  1. Kufundisha katika ngazi ya cheti kuanzia Level I hadi Level II.
  2. Kutayarisha mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work) kila mwisho wa mwaka au inapohitajika na kutayarisha “Lesson plans”, “Daily records” na “Lesson Notes”.
  3. Kutayarisha Assessment records.
  4. Kutayarisha na kusimamia mafunzo ya muda mfupi na semina mbali   mbali pale inapohitajika.
  5. Kutafuta na kubuni mbinu mbalimbali za kukuza na kuendeleza elimu katika fani na vyuo husika.
  6. Kutayarisha visaidizi vya mwalimu (teaching and learning materials/teaching adds).
  7. Kushiriki kazi za vitendo za darasani (Teaching Practise and students projects).
  8. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi
QUALIFICATION AND EXPERIENCE

            Sifa za kuajiriwa

  1. Diploma au  FTC ya Ufundi Magari /Umeme wa magari au Cheti cha utambuzi wa Ujuzi  (RPL) unaolingana
  2.  Awe Mzanzibar
  3. Awe na Umri usiozidi miaka 45.
  4. Awe amesoma katika Chuo kinachotambulikana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
REMUNERATIONZPSF-09



Share via Whatsapp
Advertise with us

©2025 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English