Habari Muhimu ...timiza ndoto zako!
1. Wito usaili Ofisi ya Makamo wa Pili wa Raisi
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi za kazi katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais kwenda kuangalia majina yao katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi (Kikwajuni) kuanzia siku ya Alkhamis ya tarehe 26 Aprili, 2018. Kwa wale ambao watabahatika kuona....Chanzo:
Tarehe ya kutolewa: 2018-04-25
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 7090...Deadline: 2018-04-29 11:42:00
2. Wito usaili Wizara ya Fedha na Mipango
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia wale wote walioomba nafasi za kazi Wizara ya Fedha na Mipango - Pemba na ambao walifanya usaili wa awali tarehe 26/03/2018 kwamba wafike Skuli ya Fidel Kasro - Pemba kwa ajili ya kufanya usaili wa mara ya Pili kwa utaratibu ufuatao hapo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-04-11
Mahali pa kazi/tukio: Fidel Castro Pemba Imetembelewa mara 4891...Deadline: 2018-04-14 08:00:00
3. WIto usaili Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Idara maalum
ume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi ya kazi ya Muhandisi Ujenzi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwenda kuangalia majina yao katika Ofisi ya Tume ya Utumishi Serikalini kuanzia siku ya Alkhamis ya tarehe 12....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-04-11
Mahali pa kazi/tukio: Tume ya Utumishi Imetembelewa mara 5988...Deadline: 2018-04-17 08:00:00
4. ZU-University High School
OFFICE OF DEPUTY VICE CHANCELLOR (ACADEMICS) The office of the Deputy Vice Chancellor for Academic Affairs of the Zanzibar University invites applications from qualified applicants for Advanced level Studies (Form V) for 2018/19 Academic Year: - SUBJECTS COMBINATION....Chanzo: ZU Website
Tarehe ya kutolewa: 2018-03-14
Mahali pa kazi/tukio: ZU Mpendae Imetembelewa mara 9078...Deadline: 2018-03-23 16:00:00
5. Usaili ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala bora
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi za kazi kwa Ofisi ya Raisi, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala wa Bora kufika katika usaili siku ya Jumapili tarehe 11 Machi, 2017 katika Chuo cha Utawala wa Umma (IPA) Tunguu saa 2:00 asubuhi. Wasailiwa wote....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-03-08
Mahali pa kazi/tukio: IPA Tunguu Imetembelewa mara 7270...Deadline: 2018-03-11 08:00:00
6. Usaili ofisi ya Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji Mji Mkongwe
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi ya kazi katika Ofisi ya Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji wa Mji Mkongwe kufika Ofisi ya Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji wa Mji Mkongwe kwa ajili ya kufanyiwa usaili siku ya Jumatano ya tarehe 14 Februari, 2018 saa 2:00 za....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-02-12
Mahali pa kazi/tukio: Ofisi ya Mamlaka Imetembelewa mara 3864...Deadline: 2018-02-14 00:00:00
7. Zanzibar-Dar es salaam Boat and Ferry schedules and Fares
ZANZIBAR BOATS AND FERRY SCHEDULES AND FARES (RATIBA ZA BOTI/MELI ZANZIBAR) Zenjishoppazz imekuandalia utaratibu mzima wa safari za boti ambazo husafirisha abiria na mizigo baina ya Dar es salaam, Pemba, Tanga na Unguja. Hii ni kutokana na kuongezeka kwa wasafiri katika maeneo hayo na hivyo....Chanzo: Zenjishoppazz
Tarehe ya kutolewa: 2018-02-12
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar-Dar es salaam Imetembelewa mara 13044...Deadline: 2018-12-12 00:00:00
8. Matokeo Form four 2017 CSEE results
CLICK ANY LETTER BELOW TO FILTER CENTRES BY ALPHABET ALL CENTRES A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y ....Chanzo: NECTA
Tarehe ya kutolewa: 2018-01-31
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 59213...Deadline: 2018-12-31 00:00:00
9. Wito usaili walioomba Ukufunzi wa muda (part time) Zanzibar-Pemba
TANGAZO LA USAILI KWA WALIOMBA NAFASI ZA UKUFUNZI WA MUDA (PART TIME TRAINER) Idara ya Mafunzo ya Ualimu kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) itaendesha usaili kwa walimu wote waliomba nafasi ya ukufunzi wa masomo ya Sayansi, Hisabati,....Chanzo: MOE-Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-01-07
Mahali pa kazi/tukio: Pemba Imetembelewa mara 4251...Deadline: 2018-01-10 00:00:00
10. Wito usaili walioomba Ukufunzi wa muda (part time) Zanzibar -Unguja
TANGAZO LA USAILI KWA WALIOMBA NAFASI ZA UKUFUNZI WA MUDA (PART TIME TRAINER) Idara ya Mafunzo ya Ualimu kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) itaendesha usaili kwa walimu wote waliomba nafasi ya ukufunzi wa masomo ya Sayansi, Hisabati, ICT na Kiengereza chini ya....Chanzo: MOE-Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-01-07
Mahali pa kazi/tukio: Unguja Imetembelewa mara 4248...Deadline: 2018-01-10 00:00:00
Habari Muhimu
Zilizofanyiwa promo
TAM Review (Zanzibar Form two Mathematics Review 2007-2020
Imeangaliwa
2023-09-29 07:43:29Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
