Habari Muhimu ...timiza ndoto zako!
1. Tangazo la Kuitwa Kazini Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serekeli
TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 24 na 25 Oktoba, 2022. kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo....Chanzo: ajira.go.tz
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-14
Mahali pa kazi/tukio: TANZANIA Imetembelewa mara 12576...Deadline: 2023-01-21 06:07:00
2. TANGAZO LA KUITWA KAZINI
TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 24 na 25 Oktoba, 2022. kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya....Chanzo: ajira.go.tz
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-13
Mahali pa kazi/tukio: TANZANIA Imetembelewa mara 13974...Deadline: 2023-01-20 03:38:00
3. Tangazo la Nafasi ya Kazi Mhandisi Madini Daraja la Pili
POSTMHANDISI MADINI DARAJA LA II - UNGUJA - 1 POSTEMPLOYERWIZARA YA MAJI NISHATI NA MADINIAPPLICATION TIMELINE:From: 11-01-2023 To: 26-01-2023DUTIES AND RESPONSIBILITIESKuratibu shughuli zote za Migodi na Madini Zanzibar ikiwa ni pamoja na uingizaji na usafirishaji wa madini nje ya....Chanzo: ZanAjira
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-13
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 19493...Deadline: 2023-01-26 04:46:00
4. NINI TUNAJIFUNZA KUPITIA KIPEPEO
NINI TUNAJIFUNZA KUPITIA KWA KIPEPEO? Ikiwa utamia muda wako kwa ajili ya kutafuta na kufukuzia vipepeo, na vipepeo nao huzidi kukimbia. Kitu cha muhimu ni kutumia muda kutengeneza bustani nzuri yenye kuvutia na baadae vipepeo watakuja wenyewe pasi na kutumia nguvu yoyote ile. Kipi....Chanzo: Zenjishoppazz
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-11
Mahali pa kazi/tukio: TANZANIA Imetembelewa mara 6626...Deadline: 2024-06-11 03:05:00
5. Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba kazi kuwa usaili wa kuandika unatarajiwa....Chanzo: ajira.go.tz
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-10
Mahali pa kazi/tukio: TANZANIA Imetembelewa mara 11755...Deadline: 2023-01-14 04:01:00
6. Ni yapi malengo yako kwa mwaka 2023
Ni yapi malengo yako kwa mwaka 2023 Tukiwa tumeuanza mwaka wa 2023 Miladia, hakikisha unaweka malengo mapya kwa mwaka 2023 ili kupiga hatua mbele, ya Zaidi ulivyopiga katika mwaka 2022. Miongoni mwa mambo ya msingi ni kuhakikisha kwanza unakuwa na nidhamu ya kifedha ambayo itakuwa ndio....Chanzo: Zenjishoppazz
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-04
Mahali pa kazi/tukio: TANZANIA Imetembelewa mara 6440...Deadline: 2024-10-04 03:23:00
7. NAFASI ZA KAZI WALIMU “GRADE A” SAYANSI (PHYSICS & MATH) DARAJA LA II - UNGUJA - 21 POST
POSTMWALIMU “GRADE A” SAYANSI (PHYSICS & MATH) DARAJA LA II - UNGUJA - 21 POSTEMPLOYERWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALIAPPLICATION TIMELINE:From: 04-01-2023 To: 11-01-2023DUTIES AND RESPONSIBILITIESKufundisha wanafunzi (katika ngazi ya Cheti na Stashahada (Ordinary Diploma)).Kuandaa....Chanzo: ZanAjira
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-04
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 14595...Deadline: 2023-01-11 07:00:00
8. NAFASI ZA KAZI WALIMU GRADE B
POSTMWALIMU “GRADE B” SAYANSI (DIPLOMA YA PHYSICS NA MATH) DARAJA LA III- UNGUJA - 34 POSTEMPLOYERWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALIAPPLICATION TIMELINE:From: 04-01-2023 To: 11-01-2023DUTIES AND RESPONSIBILITIESKufundisha Skuli za Msingi.Kutathmini maendeleo ya Wanafunzi.Kutoa taarifa za....Chanzo: ZanAjira
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-04
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 14396...Deadline: 2023-01-11 07:06:00
9. MWALIMU “GRADE A” SAYANSI (PHYSICS & MATH) DARAJA LA II
POSTMWALIMU “GRADE A” SAYANSI (PHYSICS & MATH) DARAJA LA II - PEMBA - 23 POSTEMPLOYERWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALIAPPLICATION TIMELINE:From: 04-01-2023 To: 11-01-2023DUTIES AND RESPONSIBILITIESKufundisha wanafunzi (katika ngazi ya Cheti na Stashahada (Ordinary Diploma)).Kuandaa....Chanzo: ZanAjira
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-04
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 14770...Deadline: 2023-01-11 07:34:00
10. MWALIMU “GRADE B” SAYANSI (DIPLOMA YA PHYSICS NA MATHEMATICS)
POSTMWALIMU “GRADE B” SAYANSI (DIPLOMA YA PHYSICS NA MATHEMATICS) DARAJA LA III- PEMBA - 40 POSTEMPLOYERWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALIAPPLICATION TIMELINE:From: 04-01-2023 To: 11-01-2023DUTIES AND RESPONSIBILITIESKufundisha Skuli za Msingi.Kutathmini maendeleo ya Wanafunzi.Kutoa taarifa za....Chanzo: ZanAjira
Tarehe ya kutolewa: 2023-01-04
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 14796...Deadline: 2023-01-11 07:47:00
Habari Muhimu
Zilizofanyiwa promo
TAM Review (Zanzibar Form two Mathematics Review 2007-2020
Imeangaliwa
2023-06-05 13:44:52Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
